MARCH OFFER

Social Media Marketing Advance Course.

(Pilau Formula 2.0)

Mbinu 127 zilizowasaidia wanafunzi wangu kutengeneza Milioni 95 ndani ya mwaka 1 kwa kutumia Instagram, Facebook na WhatsApp

🔥Miaka 23 ya Uzoefu kwenye Mitandao ya Kijamii, Kutoka Sifuri Hadi Zaidi ya Bilioni 2 kwenye Mauzo! Jifunze kutengeneza Strategy, Content, Matangazo yanayovutia na kunasa wateja kama smaku🔥

Wanafunzi Waliojiunga

2045

Alama Ya Ubora

9.7/10

Naitwa Gillsant Mlaseko, CEO wa Swahili Digital, kampuni inayojihusisha na Masoko ya Kidijitali na AI. Nimekuwa kwenye gemu hii kwa miaka 23 sasa tangu mwaka 2001, nikiwa mmoja wa watumiaji wa kwanza wa majukwaa kama MySpace, Dar Chart, Hi5 (2004), Facebook (2007), Twitter (2009), na Instagram (2013). Ni safari ndefu, na katika kipindi hicho nimejifunza mengi kuhusu jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii kwa ufanisi.


Kwa miaka mingi, nimepata tuzo na vyeti kutoka kwa majukwaa makubwa kama META, Google, LinkedIn, Hubspot, na hata Harvard. Kutoka kushinda Tuzo mbali mbali Consumer’s Choice Awards hadi kuwa kwenye orodha ya Watendaji Bora 100, kazi yangu imekubalika kila kona.


Kupitia mitandao ya kijamii, nimepata nafasi ya kufanya kazi na kampuni kama Tigo Tanzania, Vodacom Tanzania, NBC Bank, KCB Bank, Nyama Choma Fest, SportPesa, Betway Tanzania, Nelwas Gelato, CMSA, TFRA, Uongozi Institute, na makampuni mengine mengi. Hapa kuna baadhi ya ushuhuda na ankara za wateja wangu ambazo zinaonyesha mafanikio ya kazi yangu.


Haikuwa rahisi kufika hapa. Ilinichukua miaka kuanza kuona mafanikio. Njiani, nilidanganywa, nilisoma kozi zisizo sahihi, na nilipoteza muda mwingi na pesa nyingi. Nimepitia changamoto nyingi ambazo nisingependa wewe upitie.


Lakini hatimaye niligundua kuwa suluhisho ni kuwa na ujuzi sahihi. Bila ujuzi na mbinu stahiki, kila kitu kinaweza kuvurugika. Leo hii, mitandao ya kijamii imebadilika na inaendeshwa na algorithms, hivyo unahitaji maarifa ya kisasa ili kuweza kusimama imara.


Kwa miaka mingi, nimepata tuzo na vyeti kutoka kwa majukwaa makubwa kama META, Google, LinkedIn, Hubspot, na hata Harvard. Kutoka kushinda Consumer’s Choice Awards hadi kuwa kwenye orodha ya Watendaji Bora 100, kazi yangu imekubalika kila kona.


Siku hizi, kozi nyingi na taarifa zinazopatikana mtandaoni hazijakamilika au zimeandaliwa kwa ajili ya nchi zilizoendelea, hivyo si rahisi kupata mwongozo mzuri hasa kwa wajasiriamali wa Afrika. Nimeona “maguru” wengi wakitoa taarifa zisizo sahihi, wakidanganya wafuasi wao juu ya mbinu za mafanikio kwenye mitandao ya kijamii. Ili kuepuka makosa haya na kuhakikisha unapata elimu sahihi, nimeunda Pilau Formula 2.0—kozi kamili ya Social Media Marketing iliyotengenezwa kwa ajili ya wanaoanza na hata wale wenye uzoefu.


Huhitaji kuwa na ujuzi wowote wa awali, kwani kozi hii itakufundisha kila kitu unachohitaji kujua ili kujenga uwepo wa nguvu kwenye mitandao ya kijamii na kufanikisha biashara yako.


Kuna njia nyingi za kutengeneza pesa kupitia ujuzi wa Social Media. Unaweza kuongeza mauzo kwenye biashara yako kwa kutumia mitandao ya kijamii kwa usahihi. Unaweza kutumia ujuzi huu kuanzisha au kuendeleza biashara zako mtandaoni, hata kama unataka kuingia kwenye freelancing au consultancy. Kama mtaalam, unaweza kujenga uwepo wako mtandaoni kwa kutumia mikakati sahihi.


Ujuzi huu unaweza kutumika pia kusimamia biashara za watu wengine mtandaoni kama Social Media Manager, kutatua changamoto za wateja katika mitandao, au kuuza ujuzi wako kimataifa. Kwa wale wanaotafuta side hustles, mitandao ya kijamii ni jukwaa bora la kufanya dropshipping, affiliate marketing, CPA, YouTube, Blogging, na njia nyingine za kupata kipato.


Mitandao ya kijamii inaweza pia kukusaidia kupata ajira kama mtaalam wa mitandao, au hata kuanzisha kampuni yako ya Social Media Marketing Agency. Pia unaweza kuwa Influencer na kujenga jina lako kwa kutumia ujuzi huu.


Kama mzazi, unaweza kumpa mwanao fursa ya kujifunza ujuzi huu wa kidijitali, au unaweza kufundisha watu wengine ujuzi huo. Ujuzi huu pia utakupa fursa ya kufanya kazi kwa mbali (remote work), ukiwa ajiriwa na makampuni ya nje au kufanya masoko ya mtandaoni kwa wateja wako binafsi.


Uwezo wa kuanzisha na kuendesha darasa la mafunzo mtandaoni (online courses) ni mojawapo ya fursa zilizopo. Pia, unaweza kutumia mitandao ya kijamii kama zana ya kutangaza huduma zako kitaalamu kama daktari, mshauri, au mtaalamu wa sheria. Zaidi ya hayo, unaweza kushirikiana na makampuni kama Brand Ambassador au Content Creator. Fursa ni nyingi sana, lakini unahitaji ujuzi sahihi ili kuzifikia.


Kupitia Pilau Formula 2.0, nitakufundisha njia sahihi za kutumia mitandao ya kijamii kwa faida. Kozi hii ina moduli 16 na zaidi ya mada 50, utajifunza kila kitu kuanzia misingi ya mitandao ya kijamii, jinsi algorithms zinavyofanya kazi, mikakati ya kuongeza engagement, uundaji wa maudhui, saikolojia ya wateja, hadi mauzo na matangazo ya mtandaoni, pamoja na zana za Artificial Intelligence.


Zaidi ya hayo, kuna BONUS kibao mfano: Utapata ChatGPT prompts 300+, kozi inakua yako milele mara tu ukishalipia, na utapata nafasi ya kushiriki vipindi vya maswali na majibu na mimi kila wiki. Pia, utaunganishwa kwenye VIP WhatsApp Group kwa ajili ya ushauri wa kina. Na kubwa zaidi, ukishajifunza na ukifanyia kazi bila kuona matokeo, utarudishiwa pesa zako zote.


Kozi hii ina kila kitu unachohitaji ili kufanikiwa! Nataka nikusaidie kugeuza mitandao ya kijamii kuwa zana yenye faida kwako. Uzuri wa ujuzi huu ni kwamba hauna mipaka ya eneo, muda, au mtaji – unaweza kuendesha biashara yako popote pale duniani. Uko tayari kujiunga nami? Tuna offer ya siku 3 pekee, ambapo utalipia Tsh 100,000 tu badala ya 550,000. Usikose nafasi hii ya kubadilisha maisha yako na kutengeneza pesa kupitia mitandao ya kijamii.


Masomo Yaliomo Kwenye Course

  • Personal SWOT - Kujua uwezo wako: Bajeti, Ujuzi, Rasilimali
  • Jinsi ya kuandaa Mkakati wako
  • Uchambuzi wa Washindani
  • Kuweka Malengo
  • Branding ya Mitandao ya Kijamii - Kutengeneza USP na Jinsi Brand yako itaonekena mtandaoni
  • Kufahamu wateja wako walengwa kiundani
  • Saikolojia ya Wateja - Aina za Wateja, Kiwango cha Ufahamu, Safari ya Mteja mpaka anunue
  • Algorithm za Mitandao ya Kijamii - Jinsi Mitandao inavyofanya kazi na ni vitu gani inapenda
  • Kutengeneza Mkakati wa Maudhui
  • Jinsi ya Kuunda USOMI – Kutengeneza Upekee Mtandaoni ili uvutie wateja
  • Ramani, Nguzo na Aina ya Maudhui yako
  • Ubunifu wa Maudhui
  • Vichocheo vya Hisia za Wateja vitakavyo mfanya anunue au follow account yako
  • Mbinu Mpya za kutengeneza Maudhui ya Video (Reels) na Picha
  • Aina 38 Ya Posts ambazo unaweza weka kwenye account yako na zikaleta matokeo mazuri


  • Uandishi unaouza (Copywriting)
  • Kuunda Mkakati wa Mitandao
  • Aina 12 za Wafuasi (Followers) na jinsi ya kutengeneza post zinaozendana nao
  • Social Media Engagement na Jinsi ya Kuunda Machapisho Yanayovutia
  • Vifaa vya Mitandao ya Kijamii pamoja na jinsi ya kutumia AI kurahisisha kazi yako
  • Jinsi ya kufanya account zako ziwe na mvuto
  • Setting za Siri za Instagram
  • Matangazo ya Instagram - Mbinu Mpya ya kutumia Ads Manager na Boost Post kutengeneza matangazo yanayonasa wateja kwa bei ndogo.
  • Sales Funnel - Mbinu ya kunasa wateja huku umelala
  • Umuhimu na jinsi ya kutumia Influencers, Brand Ambassadors, UGC Creators, na Reps wa Mitandao ya Kijamii kwa Biashara Yako
  • Vidokezo vya Mauzo Kwenye Mitandao ya Kijamii
  • Mbinu Nyingine za Masoko Kwenye Mtandao ikiwemo platform zingine 20 ambazo unaweza weka biashara yako
  • Jinsi Ya Kusoma Repoti zako za Mitandao ya Kijamii
  • Vidokezo 40 vya Ziada vya Mitandao ya Kijamii ikiwemo jinsi ya kufuta Madeni yako.

Nimetengeneza kozi ya PILAU Formula 2.0 kukuonyesha jinsi ya:

Kutumia Viungo127+ vinavyoweza kuboresha mitandao yako ya kijamii.

Kunasa followers na wateja kila siku bila kutumia pesa kwenye matangazo

Kuongeza mauzo yako kwa kubadilisha followers kuwa wateja wa kudumu.

Kukuza Brand Yako Mtandaoni

Kutengeneza posts ambazo zinavutia wafuasi wako

Kutengeneza Pesa nyingi kwa kutumia elimu hii

Course Ni Bei Gani?

Upo Tayari Kuboresha Mitandao yako ya Kijamii na Biashara yako?


Huna haja ya kuendelea kupambana na mauzo madogo, followers wachache, likes, comments, views na share chache. Kwenye PILAU Formula 2.0, utapata kila kitu unachohitaji kuboresha mitandao yako ya kijamii.


Kwa muda mfupi, unaweza kupata kozi ya PILAU Formula 2.0 kwa 100,000 Tu. – lakini ofa hii inapatikana ndani ya siku chache. Kutokana na faidia na BONUS inayokuja nazo.


Bonyeza kitufe hapo chini kujiunga na kozi na uanze kuona mabadiliko leo!


Baadhi Ya Wanafunzi Wanazungumziaje

Course Hii

DARASA LIPO TAYARI, HAKUNA KUSUBIRIANA

UKILIPIA TU, UNAINGIZWA DARASANI MOJA KWA MOJA

Ukilipia Utapata Nini:

  • Viungo 127+ kutoka kwenye Pilau Formula 2.0 Course
  • Session Ya Maswali na Majibu kila wiki kutoka kwangu
  • WhatsApp Group kwa wanachama waliolipa, na mafunzo maalum
  • Kozi ikibadilishwa ikaongezewa vitu utasoma BURE
  • Cheti baada ya kuhitimu


  • Ukinunua kozi hii inakua yako Milele
  • Tutakuunganisha na wataalam mbali mbali ili uboreshe Mitandao yako
  • Mikakati na Habari zote Mpya zitatumwa kwenye group la WhatsaAPP
  • Apps na website 105 kurahisisha kazi yako
  • 300 ChatGPT Prompts kwa ajili ya kuunda maudhui
  • Nafasi ya kutumia Robot yetu ili kupata mawazo ya vitu vya kupost kwenye kurasa zako.
  • Unganishwa na Wateja kwa wale wanaosimamia biashara za wengine

Utalipia Kila Kitu Kwa: Tsh 100,000

1
TAARIFA
ZAKO
2
LIPIA
PILAU LAKO

Jina La Kwanza*

Number Ya Simu*

Email Yako (Weka Email Sahihi)*

TUNAHESHIMU TAARIFA ZAKO

Ubora wa Hali Ya Juu

Kozi hii imebadilisha maisha yangu na ya wateja wangu na kila mtu ambae ameitumia, na nina uhakika inaweza kubadilisha yako pia. Ikiwa uko tayari kuacha kuotea na kujaribu jaribu njia ambazo hazisaidii na kuanza kufanikiwa na mitandaoni

Tutakurudishia Pesa

Zako Zote

Tunaamini nguvu ya ufanisi wa Pilau Formula 2.0 kwamba tunatoa dhamana ya kurudishiwa pesa yako yote ndani ya siku 60. Ikiwa utamaliza kozi na kutekeleza mikakati lakini hutaona mabadiliko.

Powered By Swahili Digital | Become Affiliate | Legal | Contacts 0789 111 999